Thursday 9 January 2014

Mali asili za Kibindu. Jivunie kwenu.

Mali ya asile si lazima iwe twiga, tembo, dhahabu au almasi. Hata hawa wadudu ni mali yetu ya asili.
Tunapoteketeza misitu na vyanzo vya maji ,wadu hawa wanaopendeza pia wanapotea.

We angalia siku hizi: Ni lini ulimuona CHINGA, KITOFYALA, KASOZI, LWIVI (aina ya KAZILA NJEMO) au KUWI.  Maana hata NGEDA(elegant grasshoper) wanapotea.
Picha za baadhi ya vivutio vya kwetu.
Nilipiga picha hizi Mei , 2013 katika kaeneo tu kadogo nyumbani kwa mama.


 Npumbuzigwe.
 Moja ya aina nyingi za Makunguza






No comments:

Post a Comment