Sunday 17 January 2016

Kibindu Primary school. The Journey begins

Kibindu Primary school in the north-western corner of the Coast region in Tanzania is in desperate need for education facilities. For the last 3 years conditions of the classrooms and teacher's houses has deteriorated. A stormy weather destroyed  a big part of the school which have left over 1000 kids with no adequate learning space. The school is staffed by only 7 teacher. It is becoming tricky to recruit teachers to come to the village as housing is not up to scratch.

For the last 2 months there have been a huge drive from the people  to bring change to all this. Voluntary donations from everyone who studied in the school , the villagers and friends of Kibindu  has been mobilised to raise cash to renovate the school.
You can  follow our progress in here.

This one of the Teachers house.  It is impossible to do the job properly living in these conditions.

We can change this. Together.

We made a great start:

Mr Omari Mtiga ( checked shirt on the left) at the site of the new classroom construction. A dedicated man to the project.

 The Building of new classrooms has started.


If you would like to help us please contact:  Dr N Mwande at : lugome69@gmail.com ;
twitter:  @tanzanglopix
 or
Mr O Mtiga on 00255 785429686 for further informations.

Together we can. Pamoja Tunaweza. Hano ndima tu.

Sunday 8 November 2015

Let get started. Hano ndima tu.

A pencil can change a life. Penseli ndio kichocheo cha maisha bora ya baadae. Elimu kwanza.


Vingozi wetu wa kesho.

Elimu ndio Ufunguo


Watoto ni wabunifu sana. Tuwahamasishe


Thursday 9 January 2014

Mali asili za Kibindu. Jivunie kwenu.

Mali ya asile si lazima iwe twiga, tembo, dhahabu au almasi. Hata hawa wadudu ni mali yetu ya asili.
Tunapoteketeza misitu na vyanzo vya maji ,wadu hawa wanaopendeza pia wanapotea.

We angalia siku hizi: Ni lini ulimuona CHINGA, KITOFYALA, KASOZI, LWIVI (aina ya KAZILA NJEMO) au KUWI.  Maana hata NGEDA(elegant grasshoper) wanapotea.
Picha za baadhi ya vivutio vya kwetu.
Nilipiga picha hizi Mei , 2013 katika kaeneo tu kadogo nyumbani kwa mama.


 Npumbuzigwe.
 Moja ya aina nyingi za Makunguza






Tuesday 7 January 2014

Kikao cha Kijiji, Mei 2013. Je matokeo niaje?

Mwaka jana kilifanyika kikao pale Kisatuni kuzungumzia suala la wageni kuvamia hifadhi ya kijiji ,sehemu za Pela hadi mtoni. Wageni hao waliuziwa mashamba au misitu hiyo na baadhi ya viongozi wa kijiji. Lakini kati yao hakukuwa na hata mmoja aliyekuwa na hati miliki ya ardhi. Viongozi wahusika waliingia mtini siku hiyo ya kikao.

Wanakijiji waliwakomalia wageni hao kuwa wavune mazao yao kisha waishie au watafute maeneo halali.
Je suala hili utekelezaji wake umefikia wapi? Wabwanga mbuli ino mwimanya, hegu?!!

Baadi ya picha siku ya kika hicho.


 Masudi Mbalazi akimwaga hoja zake.
 Juma Mgaza aliendesha kikao hicho.


 Mzee Mtiga akitoa hoja yake.


Mmoja wa wageni hao ajijitetea.

Thursday 12 September 2013

Kibindu Oyee!

Time to bring back the juice.

 Watoto wakifurahia muda wa mapumziko.


Nikiwa Darasani na watoto wa darasa la Vidudu au Nursery. Hapa wakionyesha penseli nilizowazawadia.

 Michezo
 Happy happy happy


Sunday 16 December 2012

Home sweet home.

 Boda boda.
Usafiri wa haraka lakini ni lazima tuzingatia usalama wake. 'Mshikaki' noma.  Hahahahaha

 Wajomba.

 Hapa naona watu walishapata ulaji. Sasa hili kalafati lina kazi gani. Jamani tuwajibike, kwani hii ndio kibindu yetu.
Kose uko chaita chikauya.

 Mze Sambung'o na wajukuu.

Yombo kwa mama.

Sunday 4 March 2012

Matokeo ya Kidato cha Nne Kibindu. Inasikitisha.

Kwa kweli inabidi wazazi waamke kuhusu suala hili.
Pamoja na mipango mibovu ya serikali ya kuanzisha shule isiyokuwa na walimu wala vifaa, wakazi wa Kibindu inabidi tugangamale ili watoto wetu wapate elimu wanayostahili.
    Wazazi wengi hulipa karo lakini hawafuatilii maendeleo ya vijana wao. walimu wanakula posho bila ya kufanya kazi.

matokeo ya mtihani kibindu

Walimu anazunguuka tu kisatuni na likizo za kila wakati wakati watoto wanabaki tu wakishangaa na kupoteza muda.
Wazazi amkeni,
Pesa ukitoa , basi fuatilia kisomo cha mwana wako.
Washikeni mashati walimu na muwaulize kwanini matokeo yamekuwa kichekesho namna hii.
Darasa zima linaposhidwa kufanya vizuri, basi tatizo sio watoto bali ni mwalimu.
     Suala hili inabidi uongozi wa kijiji ,walimu na wazazi lazima walishughilikie  vinginevyo Kibindu yetu inakuwa kichekesho.

Elimu ni ufunguo wa maisha, kuupoteza ufunguo huo ni sawa na kujitia kitanzi.