Friday 21 January 2011

Picha kutoka Kibindu

Hizi picha zilipigwa na Juma Mgweno siku ya hitma ya Shekh Juma Saidi . Ilikuwa ni siku ambayo  Mzee M J Kisondoka na Ustaadh Changuba walikabidhiwa madaraka ya kuongoza maswala ya dini Kibindu.
Mungu ibariki Kibindu.





No comments:

Post a Comment