Friday 21 January 2011

Picha kutoka Kibindu

Hizi picha zilipigwa na Juma Mgweno siku ya hitma ya Shekh Juma Saidi . Ilikuwa ni siku ambayo  Mzee M J Kisondoka na Ustaadh Changuba walikabidhiwa madaraka ya kuongoza maswala ya dini Kibindu.
Mungu ibariki Kibindu.





Monday 3 January 2011

Happy New Year. Kheri Ya Mwaka Mpya

Wishing  my People in Kibindu and  beyond, a happy and fresh start for 2011.
Mgaagaa na upwa hali wali mkavu.