Sunday 16 December 2012

Home sweet home.

 Boda boda.
Usafiri wa haraka lakini ni lazima tuzingatia usalama wake. 'Mshikaki' noma.  Hahahahaha

 Wajomba.

 Hapa naona watu walishapata ulaji. Sasa hili kalafati lina kazi gani. Jamani tuwajibike, kwani hii ndio kibindu yetu.
Kose uko chaita chikauya.

 Mze Sambung'o na wajukuu.

Yombo kwa mama.